Monday 12 September 2016

Picha ya Mwimbaji Ben Pol na Snura Wakipigana Mabusu Yazua Maswali



New couple in Town ndio naweza kusema kulingana na picha hiyo hapo juu ambayo inazunguka mtaani huku wengi wakijiuliza maswali kama ni kweli ama la...? Ikumbukwe Snura alishawahi kuandika na kukiri kuwa kuna Mwanamuziki mmoja wa Bongo Flava anamzimia kishenzi lakini hakumtaja jina...Sasa jibu limepatikana baada ya wawili hao kuonyesha picha wakidendeka bila chenga....
:

Soma Baadhi ya Comment za Mashabiki

No comments:

Post a Comment