Saturday, 21 November 2015

Mdogo wa Prof. Jay hapendi siasa, alimsapoti kaka yake? uchaguzi wa 2020 je? Kajibu yote..

Black Rhyno ni mdogo wa msanii Professor Jay ambaye kura za watu wa Mikumi October 25 2015 zimemthibitisha kuwa Mbunge wa Jimbo hilo kwa miaka mitano… unajua kwa nini hakuwa na Professor Jay kwenye Kampeni? hapendi siasa? atakuja kubadilika baadae?


No comments:

Post a Comment