Tuesday 20 September 2016

Alichozungumza Obama kwenye hotuba yake ya mwisho mkutano wa UN

Kupitia hotuba aliyoitoa Rais wa Marekani Barack Obama ameyataka mataifa tajiri kufanya kila linalowezekana kuwasaidia watu wanaokimbia vita huku akikiri kuwa dunia inakabiliwa na changamoto nyingi na kuzitaka nchi tajiri kuchukulia tatizo hilo kama ni lao huku akisema kuwa ongezeko la wakimbizi ni ishara ya vita na mateso na kwamba hali hiyo itaweza kushughulikiwa tu endapo migogoro kama ule wa Syria itamalizwa.0c839261-8851-40b9-82b4-71392a9079fd_w987_r0_s

Huu unakua mkutano wa mwisho kwa viongozi wakubwa wawili ambao ni Rais Barack Obama wa Marekani na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ambao wanahudhuria vikao hivyo kwa mara ya mwisho wakiwa madarakani. 



No comments:

Post a Comment