
Shilole alichora tatoo lakini baadaye ilikuja kumgharimu walipo achana Nuh. Matokeo yake tatoo hiyo iliyokuwa kifuani Shishi aliibadilisha na kuwa ua, je na huyu naye itakuwaje?
Msichana huyo amejichora kwenye mkono wake ‘NUH MZIWANDA.’ Bado hata hivyo Nuh ana tattoo ya ex wake Shishi.
No comments:
Post a Comment