Wednesday, 25 May 2016

Vanessa Mdee na msanii huyu wa Ufaransa kuja na collabo





Vanessa Mdee na msanii wa Ufaransa, Lylah wanatarajia kuja na wimbo utakaozikutanisha Bongo na Ufaransa kimuziki. 

  13267325_1186684574676609_1258199952_n













Lylah ni msanii maarufu wa R&B na Zouk nchini Ufaransa. Wawili hao wameshare ujio wa single ya kupitia Instagram.


“New Heat Coming #France #Tanzania can’t wait for you to hear it.
Much love for my beautiful talented sister girl @lylahoriginal,”
aliandika Vanessa kwenye picha akiwa na msanii huyo aliyoiweka
Instagram.






13248814_194722390922137_1825301303_n

Lylah amewahi kufanya vizuri na wimbo Mine aliomshirikisha msanii wa Nigeria Lola Rae

    

            

“Very good memories with my @vanessamdee my honey a talented singer,
beautiful woman #tanzania #france #blackwomeninbusiness #blondehair
@vanessamdee,” aliandika msanii huyo kwenye mtandao wa Instagram.


Bado hawajesema wimbo huo unaitwaje na utatoka lini




No comments:

Post a Comment