
Mvua ilikata kwa muda, hapa baadhi ya vitu vimeokolewa kwenda na maji.
Tayari kuna watu wetu ambao wamekumbwa na mafuriko kutokana na mvua, nimepita maeneo ya Jangwani, Mchikichini na Kigogo.. Hizi ni baadhi ya picha hali ilivyo maeneo hayo.

Sehemu ya kupita haionekani.. wengine wanakatisha kwenye maji.

No comments:
Post a Comment