Thursday, 7 May 2015

Kinachoendelea Dar baada ya mvua kunyesha siku 3 mfululizo!! (PICHA)

Kama uko ndani ya Dar najua wewe ni shuhuda pia wa kile ambacho umekutana nacho kwa siku tatu mfululizo, mvua inanyesha na kukatika tangu May 5 2015.  



IMG_2382
            Mvua ilikata kwa muda, hapa baadhi ya vitu vimeokolewa kwenda na maji.

Tayari kuna watu wetu ambao wamekumbwa na mafuriko kutokana na mvua, nimepita maeneo ya Jangwani, Mchikichini na Kigogo.. Hizi ni baadhi ya picha hali ilivyo maeneo hayo.



IMG_2390                          IMG_2392                           IMG_2405
             Sehemu ya kupita haionekani.. wengine wanakatisha kwenye maji.


 IMG_2419                          IMG_2420                                IMG_2428                                      IMG_2442                                  IMG_2444

No comments:

Post a Comment